(A) Mungu Baba
Mungu Baba, twakuabudu,ntwakushukuru, twakusifu)
Maisha yangu na nafsi yangu,nnaitolea mbele yako x2n
Mungu Mwana twakuabudu,ntwakushukuru, twakusifu, maisha yangunna dhambi zangu,nnazitolea mbele yako x2n
Mungu Roho, twakuabudu,ntwakushukuru, twakusifu,nmaisha yangu na shida zangunnazitolea mbele yako x2n
Maisha yangu na nafsi yangu .....
Maisha yangu na dhambe zangu....
Maisha yangu na shida zangu...
Nakusunga nitukusunga, nawathi tuyina,
Asa nutaiwe, nitukukatha x2
Utunete Athembi mana Asa Mwiai
Kwoondu wa matei, Asa nutaiwe x2n
Utunete thayu mana Asa Mwiai
Kwoondu wa matei, Asa nutaiwe x2n
Utunete mali mana Asa Mwiai
Kwoondu wa matei, Asa nutaiwe x2n
Utunete syana mana Asa Mwiai
Kwoondu wa matei, Asa nutaiwe x2
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.