SectionsOffertoryAcheni Visingizio

Acheni Visingizio

Ordinary TimeOffertory
Chorus

Acheni visingizo wanadamu,nacheni visingizio kwamba hali ni ngumu *2

Nenda mkatoe (vipaji) nenda mkatoe vipaji nnenda mkatoe vipaji kwa bwana *2

Verse 2

Siyo ninyi wenye magari ya kifahari mnaodai hali ni ngumu.

Siyo ninyi wenye fedha nyingi mifukoni mnaodai hali ni ngumu.

Verse 3

Siyo ninyi wenye majumba ya kifahari mnaodai hali ni ngumu.

Ndani yake mmejaza vitu vya dhamani mnaodai hali ni ngumu.

Verse 4

Siyo ninyi mnaovuna mazao mengi mnaodai hali ni ngumu.

Siyo ninyi mnaopokea mishahara mnaodai hali ni ngumu.

Verse 5

Msidhani mmepata kwa uwezo wenu mnaodai hali ni ngumu.

Bali ni Mungu aliye wajalia hayo mnaodai hali ni ngumu.

Verse 6

Kumbukeni mjane alotoa dinari mnaodai hali ni ngumu.

Hakubakiza chochote mfukoni mwake mnaodai hali ni ngumu.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.