Chorus
{Akawaonyesha mana ili wale,nakawapa nafaka ya mbinguni
Mwanadamu akala chakula cha mashujaa
Aliwapelekea chakula cha kuwashibisha} * 2
Verse 2
Mambo tuliyoyasikia na kuyafahamu
Ambayo mababa zetu walituambian
Verse 3
Lakini aliamuru mawingu ya mbingu
Akaifungua milango ya mbinguni
Akawanyeshea mana ili wale
Akawapa nafaka ya Mbingunin
Verse 4
Mwanadamu akala chakula cha mashujaa
Aliwapelekea chakula kuwashibisha
Aliwapeleka kwa mlima wake takatifu
Mlima alioununua kwa mkono wake wa kuume
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.