SectionsExitAmelaaniwa Mtu Yule

Amelaaniwa Mtu Yule

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Bwana asema hivi

Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu

Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yaken(Na moyoni mwake amemwacha Bwana

Na moyoni mwa-ke amemwacha Bwana *2)

Verse 2

Kwa maana yeye atakuwa kama vile fukara nyikani

Naye ataona siku zote yote mema yatendwayo

Verse 3

Yeye ataishi maisha ya jangwani na yaliyo na ukame

Kwenye nchi kavu, yenye chumvi isiyokuwa na watu

Verse 4

Kama vile kware asanyaye makinda asiyoyazaa

Ni sawa na yule apataye mali wala si kwa hakin

Verse 5

Amebarikiwa mtu yule amwitaye Bwana ndiye njia,

Ndiye tumaini lake yeye siku za maisha yake

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.