Chorus
Bwana asema hivi
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu
Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yaken(Na moyoni mwake amemwacha Bwana
Na moyoni mwa-ke amemwacha Bwana *2)
Verse 2
Kwa maana yeye atakuwa kama vile fukara nyikani
Naye ataona siku zote yote mema yatendwayo
Verse 3
Yeye ataishi maisha ya jangwani na yaliyo na ukame
Kwenye nchi kavu, yenye chumvi isiyokuwa na watu
Verse 4
Kama vile kware asanyaye makinda asiyoyazaa
Ni sawa na yule apataye mali wala si kwa hakin
Verse 5
Amebarikiwa mtu yule amwitaye Bwana ndiye njia,
Ndiye tumaini lake yeye siku za maisha yake
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.