SectionsExitAmini Amin

Amini Amin

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Christmas,Christmas,Christmas,Easter,LentExit
Verse 1

Amin, amin, nawaambia, ninawaambia

Amin, amin, mmoja wenu, atanisaliti

Chorus

Nitampiga mchungaji wa kondoo oo

Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2

Verse 3

Mwana wa Adamu aenda zake,nilivyoandikwa, ole ni wake mtu yule, amsalitiye

Chorus

Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana

Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2

Verse 5

Twaeni mle mwili wangu, uwe ukumbusho

Twaeni mnywe damu yangu, iwe ukumbusho

Chorus

Nitampiga mchungaji wa kondoo oo

Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2

Verse 7

Amini, amini na kutubu, enyi mataifa

Amini, amini na kutubu, turudi kwa Bwana

Chorus

Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana

Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.