Verse 1
Amin, amin, nawaambia, ninawaambia
Amin, amin, mmoja wenu, atanisaliti
Chorus
Nitampiga mchungaji wa kondoo oo
Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2
Verse 3
Mwana wa Adamu aenda zake,nilivyoandikwa, ole ni wake mtu yule, amsalitiye
Chorus
Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana
Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2
Verse 5
Twaeni mle mwili wangu, uwe ukumbusho
Twaeni mnywe damu yangu, iwe ukumbusho
Chorus
Nitampiga mchungaji wa kondoo oo
Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2
Verse 7
Amini, amini na kutubu, enyi mataifa
Amini, amini na kutubu, turudi kwa Bwana
Chorus
Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana
Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.