SectionsExitAnakuja Mwenye Enzi

Anakuja Mwenye Enzi

AdventExit
Verse 1

Anakuja mwenye enzi Bwana mfalme

Wanadamu kutukomboa

Anakuja kututoa utumwani

Wanadamu kutukomboa

Chorus

{ Bwana mfalme, anakuja kwetu

Anakuja anakuja anakuja kwetu } *2n

Verse 3

Anakuja andaeni njia yake

Tayarisha mapito yake

Nasi kweli tukamlaki ndiye mkuu

Ni mwanga wetu dunianin

Verse 4

Anakuja kwa ajili yetu sisi

Anatuletea wokovu

Ni masiha hivyo nasi tumngojee

Tumaini la wanadamu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.