Verse 1
Anakuja mwenye enzi Bwana mfalme
Wanadamu kutukomboa
Anakuja kututoa utumwani
Wanadamu kutukomboa
Chorus
{ Bwana mfalme, anakuja kwetu
Anakuja anakuja anakuja kwetu } *2n
Verse 3
Anakuja andaeni njia yake
Tayarisha mapito yake
Nasi kweli tukamlaki ndiye mkuu
Ni mwanga wetu dunianin
Verse 4
Anakuja kwa ajili yetu sisi
Anatuletea wokovu
Ni masiha hivyo nasi tumngojee
Tumaini la wanadamu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.