Asante Bwana Yesu
Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Asante Bwana Yesu, kwa mema yako (yote),nkwa mema yako uliyotujalia
Asante, kwa mema yako (yote),nkwa mema yako uliyotujalia.
Verse 2
Umetulisha, umetunywesha twashukuru
Mema ya mbingu tumeyapata twashukuru
Mwana wa Mungu u kati yetu twashukuru
Kwa vitu vyote ulivyotupa twashukuru
Msamaha wako umetujalia twashukuru
Asante sana kwa mema yote twashukuru
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.