SectionsThanksgivingAsante Bwana Yesu

Asante Bwana Yesu

Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Asante Bwana Yesu, kwa mema yako (yote),nkwa mema yako uliyotujalia

Asante, kwa mema yako (yote),nkwa mema yako uliyotujalia.

Verse 2

Umetulisha, umetunywesha twashukuru

Mema ya mbingu tumeyapata twashukuru

Mwana wa Mungu u kati yetu twashukuru

Kwa vitu vyote ulivyotupa twashukuru

Msamaha wako umetujalia twashukuru

Asante sana kwa mema yote twashukuru

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.