Chorus
Kweli bahati iliyoje kujongea meza ya Bwanan{(Ninapo) ninapokula mwili wa Bwanan(ninapo) ninapo kunywa damu ya Bwananninapata furaha kubwa amani rohoni mwangu} *2
Verse 2
Niulapo mwili wake Bwana, niunywapo damu yake Bwana,
Napata furaha na amani rohoni mwangu
Verse 3
Tule mwili wake Bwana Yesu, tunywe damu yake Bwana Yesu
Nyoyo zetu zitajawa neema na mwanga wa milele
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.