SectionsEucharistBahati Iliyoje

Bahati Iliyoje

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Kweli bahati iliyoje kujongea meza ya Bwanan{(Ninapo) ninapokula mwili wa Bwanan(ninapo) ninapo kunywa damu ya Bwananninapata furaha kubwa amani rohoni mwangu} *2

Verse 2

Niulapo mwili wake Bwana, niunywapo damu yake Bwana,

Napata furaha na amani rohoni mwangu

Verse 3

Tule mwili wake Bwana Yesu, tunywe damu yake Bwana Yesu

Nyoyo zetu zitajawa neema na mwanga wa milele

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.