Chorus
{ Basi mkiwa mmefufuliwa, pamoja na Yesu Kristu
Yatafuteni yaliyo juu Kristu aliko
Ameketi mkono wa kuume,nmkono wa kuume wa Mungu } * 2
Verse 2
Yafikirini yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi
Kwa maana mlikufa na uhai wenu
Umefichwa pamoja na Kristu katika Mungu
Verse 3
Kristu atakapofunuliwa, aliye uhai wetu
Ndipo na ninyi mtafunuliwa
Pamoja naye pamoja naye katika utukufun
Verse 4
Lakini sasa Kristu amefufuka, amefufuka katika wafu
Limbuko lao waliolala, maana mauti ililetwa na mtu
Kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.