SectionsEntranceBasi Mpeni Kaisari

Basi Mpeni Kaisari

Ordinary TimeEntrance
Chorus

Basi mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari x2

Na Mungu mpeni yaliyo yake Mungu x2

Verse 2

Ndipo mafarisayo wakaenda zaonwakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno, wakatuma kwake wanafunzi wao, pamoja na maherode wakasema -

Basi utuambie, waonaje?

Ni halali kumpa Kaisari kodi, ama sivyo?

Lakini Yesu aliufahamu uovu wao,nakaseman

Mbona mnanijaribu enyi wanafki?

Nionyesheni fedha ya kodi naonwakamletea dinari, akawaulizanni ya nani sanamu hii na anuani hii?

Wakamwambia ni ya Kaisari, akawambia

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.