Verse 1
Bustanini Getsameni, Yesu akaanguka kifudifudi, akaomba
Chorus
{ Baba yangu ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke
Lakini si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe} *2
Verse 3
Akawachukua na wale wana wawili wa Zebedayo
Akaanza kuhuzunika na kusononeka
Verse 4
Roho yangu ina huzuni, roho yangu ina huzuni
Roho yangu ina huzuni, kiasi cha kufa
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.