SectionsExitBustani Getsameni

Bustani Getsameni

LentExit
Verse 1

Bustanini Getsameni, Yesu akaanguka kifudifudi, akaomba

Chorus

{ Baba yangu ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke

Lakini si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe} *2

Verse 3

Akawachukua na wale wana wawili wa Zebedayo

Akaanza kuhuzunika na kusononeka

Verse 4

Roho yangu ina huzuni, roho yangu ina huzuni

Roho yangu ina huzuni, kiasi cha kufa

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.