SectionsExitBwana Alikua Tegemeo

Bwana Alikua Tegemeo

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Bwana alikuwa tegemeo, langu langu *2

Akanitoa kanipeleka panapo nafasi nafasi

Akaniponya kwa kuwa alipendezwa nami

Verse 2

Bwana alinitendea, sawasawa na haki yangu,

Maana nimezishika njia zake wala sikumwasi Mungu.

Verse 3

Nimeshika maagizoye, sikuacha na amri zake

Mbele za Bwana sikuwa na hatia nikalinda wema wangu,n

Verse 4

Atukuzwe Baba na Mwana, naye Roho Mtakatifu

Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele amina

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.