Chorus
Bwana alikuwa tegemeo, langu langu *2
Akanitoa kanipeleka panapo nafasi nafasi
Akaniponya kwa kuwa alipendezwa nami
Verse 2
Bwana alinitendea, sawasawa na haki yangu,
Maana nimezishika njia zake wala sikumwasi Mungu.
Verse 3
Nimeshika maagizoye, sikuacha na amri zake
Mbele za Bwana sikuwa na hatia nikalinda wema wangu,n
Verse 4
Atukuzwe Baba na Mwana, naye Roho Mtakatifu
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele amina
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.