Chorus
Bwana amejaa huruma na neema
Haoni hasira upesi ni mwingi wa fadhili
Maana Mbingu zilivyoinuka juu ya nchi
Kadiri ile ile, rehema zake ni kuu kwa wamchao
Verse 2
Ee nafsi yangu umhimidi Bwana
Na vyote vilivyo ndani yangu
Vilihimidi Jina lake Takatifu
Ee nafsi yangu umhimidi Bwana
Wala usizisahau fadhili zake zote
Verse 3
Akusamehe maovu yako yote
Akuponya magonjwa yako yote
Aukomboa uhai wako na kaburi
Akutia taji la fadhili na rehema
Aushibisha neema uzee wakon
Verse 4
Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki
Na hukumu kwa wote wanaoonewa
Alimjulisha Musa njia zakenna wana wa Israeli matendo yake
Wana wa Israeli matendo yake
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.