Verse 1
Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu
Nimwogope nani na nimhofu nani
Bwana ni ngome yangu na uzima
Nimwogope nani na nimhofu nani
Chorus
Nimeamua (mimi ) maisha yangu (yote )
Nitakaa nyumba
I mwake mungu. *2
Verse 3
Nikitazama uzuri wake Bwana
Moyoni ninapata nguvu kumfuata.
Ninapotafakari hekaluni mwake
Verse 4
Jeshi la mwovu likipigana nami
Sitaogopa kwani Mungu yuko nami.
Hata watesi na adui wakijan
Verse 5
Napiga moyo kode nikimngoja Bwana
Ufalme wake ndio tumaini langu.
Na wema wake kweli mimi nitapatan
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.