Verse 1
Bwana Yesu alitamka- mimi ndimi njia yankweli, mtu haji kwa Baba yangu-ila kwannjia yangu mimi
Hebu jiulize, njia gani uifuatayo, nawenwaelekea wapi na wafuata njia ya kweli
Verse 2
Njia nyembamba yenye tabu ndiyoniendayo Mbinguni na ile pana ya anasanyaelekea Jehanam
Verse 3
Ngamia ni rahisi sana kuingia tundunla sindano, kuliko mtu mwenye dhambinkuingia Mbinguni kwa Baba
Verse 4
Mimi ndimi mwanzo na mwishonmimi Alfa na Omega
Mtu haji kwa Baba yangunila kwa njia yangu mimi
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.