Chorus
{Ee Bwana, ee Bwana ee Bwana kumbuka rehema zakonna fadhili zako ee Bwana }* 2n{Kwa maana zimekuwapo
Kwa maana zimekuwapo tokea zamani
Kwa maana zimekuwapo tokea zamani } * 2
Verse 2
Ee Bwana ee Bwana unijulishe njia zako
Unifundishe mapito yako
Uniongoze katika kweli yako na kunifundisha
Maana wewe ndiwe Mungu wa wokovu wangu
Verse 3
Usiyakumbuke makosa makosa ya ujana wangu
Wala maasi yangu
Unikumbuke kwa kadiri ya fadhili zako ee Bwana
Kwa ajili ya wema wako, kwa ajili ya wema wako
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.