SectionsExitEe Bwana Kumbuka Rehema Zako

Ee Bwana Kumbuka Rehema Zako

Ordinary TimeExit
Chorus

{Ee Bwana, ee Bwana ee Bwana kumbuka rehema zakonna fadhili zako ee Bwana }* 2n{Kwa maana zimekuwapo

Kwa maana zimekuwapo tokea zamani

Kwa maana zimekuwapo tokea zamani } * 2

Verse 2

Ee Bwana ee Bwana unijulishe njia zako

Unifundishe mapito yako

Uniongoze katika kweli yako na kunifundisha

Maana wewe ndiwe Mungu wa wokovu wangu

Verse 3

Usiyakumbuke makosa makosa ya ujana wangu

Wala maasi yangu

Unikumbuke kwa kadiri ya fadhili zako ee Bwana

Kwa ajili ya wema wako, kwa ajili ya wema wako

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.