SectionsOffertoryEe Bwana Twaomba Upokee

Ee Bwana Twaomba Upokee

Ordinary TimeOffertory
Chorus

Ee Bwana twaomba upokee sadaka yetu hii tunayokutolean{ Twakusihi sana ibariki Babaniwe safi sana iwe kama ile ya Abeli } *2

Verse 2

Baba twaleta mkate na divai, kazi ya mikono yetu Baba

Ibariki Baba, iwe safi sana iwe kama ile ya Abeli

Verse 3

Baba twaleta na fedha zetu, japo ni kidogo sana Baba

Zipokee Baba, zikupendeze ziwe kama zile za Abeli

Verse 4

Baba twaleta na sala zetu, Baba twakuomba zisikilize

Twakusihi sana, zisikilize kama sala zile za Abeli

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.