SectionsOffertoryEe Bwana Uisikie Haki

Ee Bwana Uisikie Haki

Ordinary TimeOffertory
Chorus

Ee Bwana uisikie haki, usikie haki

Utege sikio lako Bwana, kwa maombi yangu (Bwana)n{ Usikilize maombi yangu yasiyotoka katika,

Yasiyotoka katika midomo ya hila } *2

Verse 2

Nyayo zangu zimeshikamana, zimeshikamana na njia zako,

Hatua zangu haziku, hazikuondoshwa.

Verse 3

Ee Mungu nimekuita wewe, kwa maana wewe utaitika,

Utege sikio lako nisikie mimi.

Verse 4

Unifiche chini ya uvuli, chini ya uvuli wa mbawa zako

Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.