Chorus
Ee Bwana uisikie haki, usikie haki
Utege sikio lako Bwana, kwa maombi yangu (Bwana)n{ Usikilize maombi yangu yasiyotoka katika,
Yasiyotoka katika midomo ya hila } *2
Verse 2
Nyayo zangu zimeshikamana, zimeshikamana na njia zako,
Hatua zangu haziku, hazikuondoshwa.
Verse 3
Ee Mungu nimekuita wewe, kwa maana wewe utaitika,
Utege sikio lako nisikie mimi.
Verse 4
Unifiche chini ya uvuli, chini ya uvuli wa mbawa zako
Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.