Chorus
Ee Bwana ulimwengu wote u katika uweza wakon{Wala hakuna awezaye kukupinga
Wala hakuna awezaye kukupinga ukipenda }*2
Verse 2
Wewe umeumba vyote Mbingu na nchi
Na vitu vyote vya ajabu vilivyomo chini ya Mbingun
Ndiwe Bwana Bwana wa vyote
Verse 3
Kwa kuwa Bwana ni mkuu
Mwenye kusifiwa sana na wa kuhofiwa kuliko miungu
Maana miungu ya watu si kitu
Lakini Bwana ndiye aliyezifanya Mbingu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.