Ee Bwana Wewe Ndiwe Mwenye Haki
Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{Ee Bwana Bwana, Ee Bwana Bwana
Wewe ndiwe mwenye haki } *2n{ Na hukumu zako (na hukumu zako )
Na hukumu zako hukumu zako ni za adili } *2
Verse 2
Kama zilivyo rehema zako, unitendee mtumishi wako
Na amri amri zako, unifundishe unifundishe
Verse 3
Mimi ni mtumishi wako, unifahamishe unifahamishe
Nipate kuzitoa, shuhuda zako shuhuda zako
Verse 4
Bwana uwape amani wakungojao,
Ili watu wawasadiki manabii wako
Usikilize sala ya mtumwa wako, na ya taifa lako Israeli
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.