SectionsThanksgivingEe Bwana Wewe Ndiwe Mwenye Haki

Ee Bwana Wewe Ndiwe Mwenye Haki

Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{Ee Bwana Bwana, Ee Bwana Bwana

Wewe ndiwe mwenye haki } *2n{ Na hukumu zako (na hukumu zako )

Na hukumu zako hukumu zako ni za adili } *2

Verse 2

Kama zilivyo rehema zako, unitendee mtumishi wako

Na amri amri zako, unifundishe unifundishe

Verse 3

Mimi ni mtumishi wako, unifahamishe unifahamishe

Nipate kuzitoa, shuhuda zako shuhuda zako

Verse 4

Bwana uwape amani wakungojao,

Ili watu wawasadiki manabii wako

Usikilize sala ya mtumwa wako, na ya taifa lako Israeli

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.