Chorus
[s] Ee Mungu mfalme Bwana mimi nitakutukuzan[w] Nitalihimidi jina lako Bwana *2n{ Kila siku nitakuhimidi ewe Mungu wangunnitalitukuza jina lako milel } *2
Verse 2
Bwana ana fadhili, ni mwingi wa rehema,
Si mwepesi wa hasira ni mwingi wa rehema
Na rehema zake ni kwa viumbe vyote
Verse 3
Viumbe vyote vyako Mungu vitakusujudu
Na wacha Mungu wako watakuhidi
Wataunena utukufu wako na kuhadithia uweza wako.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.