SectionsExitEe Mungu Mfalme

Ee Mungu Mfalme

Ordinary TimeExit
Chorus

[s] Ee Mungu mfalme Bwana mimi nitakutukuzan[w] Nitalihimidi jina lako Bwana *2n{ Kila siku nitakuhimidi ewe Mungu wangunnitalitukuza jina lako milel } *2

Verse 2

Bwana ana fadhili, ni mwingi wa rehema,

Si mwepesi wa hasira ni mwingi wa rehema

Na rehema zake ni kwa viumbe vyote

Verse 3

Viumbe vyote vyako Mungu vitakusujudu

Na wacha Mungu wako watakuhidi

Wataunena utukufu wako na kuhadithia uweza wako.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.