SectionsExitEe Nafsi Yangu

Ee Nafsi Yangu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

{ Ee nafsi yangu mhimidi Bwana, wewe Bwana Mungu wangu,numejifanya mkuu sana, umejivika heshima na adhama } * 2

Verse 2

Umejivika nuru kama vazi, umezitandaza mbingu kama pazia

Na kuziweka nguzo za horofa, nguzo za horofa zake majini

Verse 3

Huwafanya malaika zake, huwafanya kuwa pepo

Na watumishi watumishi wake, huwafanya kuwa moto wa miali

Verse 4

Ee Bwana jinsi yalivyo mengi, yalivyo mengi matendo yako

Kwa heshima umefanya vyote, dunia imejaa mali yako

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.