SectionsEucharistEkaristia Takatifu

Ekaristia Takatifu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianEucharist
Verse 1

Ekaristia takatifu ni mwili na damu yake Yesu

Aliyesulubiwa msalabani ili kutukomboa

Jioni Alhamisi katwaa mkate,n(Pia) Divai kawapa wanafunzin(Ili) wanywe kwa ukumbusho wake

Chorus

Njooni njooni wateule (wote)

Njooni tumwabudu Kristu katika sakramentin(Ndugu) njooni njooni tumwabudu Yesu

Njooni njooni tumwabudu Kristu katika sakramenti

Verse 3

Tujongee taratibu tukale karamu takatifu

Aliyotuachia Yesu Kristu kwa ukarimu wake

Chakula cha uzima [Na] kinywaji cha rohon(Hili) ni fumbo alilotuachia

Tuadhimishe kwa ukumbusho waken

Verse 4

Ekaristi takatifu huleta neema ya Mbinguni,

Huleta mapatano kati yetu naye muumba wetu

Walio na imani wanayo barakan(Hadi) milele wanalo hakikishon(Lile) la kushiriki kwa utukufu wake

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.