SectionsExitEnyi Wanadamu

Enyi Wanadamu

Ordinary Time,Marian,Easter,Ordinary TimeExit
Chorus

Enyi wanadamu msisumbukie maisha yenu

Kwani yale yote mnayoyasumbukia Mungu anayajuan{ Msijiulize ulize kwamba mtaishi vipi

Bali utafuteni kwanza ufalme (wa Mungu)

Nayo mahitaji yenu mnayohangaikiankila siku Mungu atawapa } *2

Verse 2

Msifikiri sana, juu ya maisha yenu

Bali mtumikieni Mungu,

Kwa kusali na kutenda mema,

Kwa kuwa Mungu ndiye mtoaji wa vyote

Verse 3

Jueni Mungu ndiye, kinga ya maisha yenu

Sasa mtumikieni Mungu,

Kwa kusali na kutenda mema,

Kwa kuwa Mungu ndiye mtoaji wa vyote

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.