SectionsExitFadili Za Bwana (Ii)

Fadili Za Bwana (Ii)

Ordinary Time,Marian,Easter,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Lent,LentExit
Chorus

{ Fadhili za Bwana zina wamchao

Tangu milele hata milele } *2

Verse 2

Ee nafsi yangu umhimidi Bwana

Naam vyote vilivyo ndani yangu

Vilihimidi Jina lake tukufu

Verse 3

Akusamehe maovu yako yote

Akuponye magonjwa yako yote

Aukomboa uhai wako na kaburi

Verse 4

Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki

Na hukumu kwa wote walioonewa

Alimjulisha Musa njia zake

Verse 5

Bwana amejaa huruma na neema

Haoni hasira ni mwingi wa fadhili

Hakututenda sawa na hatia zetu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.