Verse 1
Nasadiki kwa Mungu mmoja
Muumba mbingu na dunia na kwanmwana wa pekee yesu Kristu Bwananwetu ninasadiki
Verse 2
Aliyetungwa kwa uwezo wake Roho
Mtakatifu kazaliwa na Bikira ninasadiki
Verse 3
Aliteswa kwa pilato alisulibiwa na akafanakazikwa akashukia na kuzimunkafufuka yeye siku ya tatu toka wafunninasadiki
Chorus
Ninasadiiki, ninasadiki, ninasadiki
Verse 5
Akapaa juu mbinguni, ameketi kuumenkwake Baba mwenyezi
Atakapotokea kuhukumu watu wotenwazima na wafu
Verse 6
Nasadiki kwake Roho na kanisa takatifunkatoliki la mitume
Ushirika ule mwema wa watakatifu wote,nmaondoleo ya dhambi
Verse 7
Ufufuko wa miili na uzima wa milelenijayo Amina
Ufufuko wa miili na uzima na milele ijayonamina..
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.