Verse 1
Arusi ya kwanza ilifanywa shambani
Mungu aliumba Adam na Hawa
Na aliwaambia wakae wawili
Mzae watoto mjaze dunia
Chorus
[Kuna shida kweli]
Mtu akioa miaka mitatu tanonmatusi dharau zikaja nyumbanin[Msipovumilia] mtaangamia
Bwana anasema mjaze dunia
Verse 3
Ewe bibi harusi na Bwana harusi
Sasa mmefunga pingu za maisha
Lakini mjue Shetani yu karibu
Anabisha hodi kuja awatenganishe
Verse 4
Vikwacha nyumbani nazo mtazipata
Taabu magonjwa nyumbani mtapata
Lakini mjue hayo ni maisha
Yote yatokeapo mshukuruni Mungu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.