Verse 1
Harusi ya Mungu
Harusi ni siri kwa wale walioitimiza *2
Mnapoahidi
Wakristu wote wanashuhudia yale mnayosema *2.
Ni dhahabu yenu
Muitunze kila siku, isijechafuke *2
Naye Mungu
Wa uwezo maishaini mwenu awasaidie *2
Verse 2
Mtakatifu Paulo,Katika waraka wake kwa
Waefeso sura ya tano
Aliwaambia. Waume wapendeni wake zenunkama miili yenu
Nanyi wanawake, Mtii waume zenunkama vile apendayo Bwana
Verse 3
Mliowaona, Kumbukeni sirinhii ni siri ya ndoa ya rohoni
Kujipamba kwenu, Kusiwe kwa nje tu,nbali mzipambe roho zenu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.