SectionsExitHeri Nyinyi

Heri Nyinyi

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Heri ninyi watakapo washtumu

Na kuwanenea kila neno baya } *2n{ Lakini furahini sana (sana) na kushangilia

Kwa kuwa dhawabu yenu kubwa Mbinguni } *2

Verse 2

Watawasaliti ninyi ili mpate dhiki

Watawakamata ninyi na kuwapiga sana

Kwa ajili ya jina langu

Verse 3

Watawazushia ninyi maneno ya uwongo

Watawahukumu ninyi jinsi watavyotaka

Kwa ajili ya jina langu

Verse 4

Watawafuata ninyi ili wawasakame

Kwa maana mtasifiwa kwa kila mfanyacho

Kwa ajili ya jina langu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.