Chorus
{ Heri ninyi watakapo washtumu
Na kuwanenea kila neno baya } *2n{ Lakini furahini sana (sana) na kushangilia
Kwa kuwa dhawabu yenu kubwa Mbinguni } *2
Verse 2
Watawasaliti ninyi ili mpate dhiki
Watawakamata ninyi na kuwapiga sana
Kwa ajili ya jina langu
Verse 3
Watawazushia ninyi maneno ya uwongo
Watawahukumu ninyi jinsi watavyotaka
Kwa ajili ya jina langu
Verse 4
Watawafuata ninyi ili wawasakame
Kwa maana mtasifiwa kwa kila mfanyacho
Kwa ajili ya jina langu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.