SectionsEntranceHii Ndio Siku (Ii)

Hii Ndio Siku (Ii)

Ordinary TimeEntrance
Chorus

Hii ndiyo siku, aloifanya Bwana *2

Tuishangilie, na kuifurahiya *2n{Tupige makofi na vigelegele

Sote turuke juu tumshukuru Mungu } *2

Verse 2

Ndiwe Mungu wangu nami nitakushukuru

Ndiwe Mungu wangu nami nitakutukuza

Nitakushukuru kwa moyo wangu wote

Kwa mema yote Bwana uliyonijalia

Verse 3

Nifungulieni malango ya haki,

Nitaingia mimi na kumshukuru Mungu

Nitakushukuru kwa moyo wangu wote

Kwa mema yote Bwana uliyonijalia

Verse 4

Mkono wa kuume wa Bwana umetukuzwa

Mkono wa Bwana hutenda makuu

Nitakushukuru kwa moyo wangu wote

Kwa mema yote Bwana uliyonijalia

Verse 5

Mshukuruni Bwana kwa kuwa yeye ni mwema

Kwa maana fadhili zake ni za milele

Nitakushukuru kwa moyo wangu wote

Kwa mema yote Bwana uliyonijalia

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.