Chorus
Hii ndiyo siku, aloifanya Bwana *2
Tuishangilie, na kuifurahiya *2n{Tupige makofi na vigelegele
Sote turuke juu tumshukuru Mungu } *2
Verse 2
Ndiwe Mungu wangu nami nitakushukuru
Ndiwe Mungu wangu nami nitakutukuza
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Kwa mema yote Bwana uliyonijalia
Verse 3
Nifungulieni malango ya haki,
Nitaingia mimi na kumshukuru Mungu
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Kwa mema yote Bwana uliyonijalia
Verse 4
Mkono wa kuume wa Bwana umetukuzwa
Mkono wa Bwana hutenda makuu
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Kwa mema yote Bwana uliyonijalia
Verse 5
Mshukuruni Bwana kwa kuwa yeye ni mwema
Kwa maana fadhili zake ni za milele
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Kwa mema yote Bwana uliyonijalia
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.