SectionsEucharistHiki Ndicho Chakula Bora

Hiki Ndicho Chakula Bora

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

{ Hiki ndicho chakula bora kwa wanyofu wa moyo

Wote wenye mioyo safi Bwana awaalika } *2n{ /s/ a/t/b/

Haya njoni wote mezani kwa chakula bora cha uzima

Haya njoni wote mezani kwa chakula bora

Haya njoni kwa chakula bora, cha uzima

Wana heri wale wote, wanaokipokea } *2

Verse 2

Kwa upendo Bwana Yesu amejitoa kama chakula

Bwana akajitoa, apate kuziokoa roho zetu.

Verse 3

Njooni wote wenye kiu ya kupokea wokovu wake

Njooni maskini, njoni viwete vipofu na wagonjwa

Verse 4

Tule tunywe siku zote kwa ukombozi wa roho zetu

Haya njoni wote, mezani kwa Bwana kwa chakula bora

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.