{ Hiki ni chakula kilichoshuka kutoka mbinguni,nasema Bwana } *2n{ /b/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo,
Baba zenu, baba zenu walikula
Baba zenu jangwani nao wakafann/t/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo, Baba zenu walikula
Baba zenu jangwani nao wakafann/a/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo walikula
Baba zenu jangwani nao wakafann/s/ Siyo kama ile mana ya jangwani walikula
Baba zenu jangwani nao wakafa } *2
Chakula hiki kweli ni chakula chenye uzima, asema Bwana,
Anayekula mwili na kuinywa hii damu, anao uzima
Twendeni wote tule mwili wake na damu yake, kwa Bwana Yesu
Anatualika sote kwa karamu yake kweli, tukale chakula
Songea ndugu wewe ni mwenye haki ya kujongea meza ya Bwana
Anakuita ule mwili wake na damu yake, upate uzima
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.