Hima Hima

Offertory
Chorus

Hima hima leo najongea kwako Bwana.

Ninakuja kwako kwa unyenyekevu wangu.n(Nakutolea matunda ya jasho langu, pokea

Baba na mimi unipe Baraka *2)

Verse 2

Kwa ukarimu nimejitolea mimi mwenyewe, npolepole nasonga mbele nifke kwako.

Ninakukabidhi nilichonacho,nhiki kidogo Baba pokea

Verse 3

Mapato yangu ni duni sana we wanijua;nsina kitu kizuri cha kuletea wewe.

Ninakukabidhi maisha yangunuzima wangu Baba pokea

Verse 4

Mungu wangu ninakuja kwako nikushukuru,numenilinda siku zote asante sana.

Mavuno yangu nakupa wewenna fedha zangu Baba pokea

Verse 5

Wiki nzima umenijalia uhai bure,

Umenikinga na matatizo unanipenda,

Mkate huu nakutolea,

Divai hii Baba pokea.

Verse 6

Baraka zako ninazipokea siku kwa siku

Mungu Baba nionyeshe Mbingu nifanye kazi,

Mifugo yangu nakuletea

Furaha yangu Baba pokea

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.