Hima hima leo najongea kwako Bwana.
Ninakuja kwako kwa unyenyekevu wangu.n(Nakutolea matunda ya jasho langu, pokea
Baba na mimi unipe Baraka *2)
Kwa ukarimu nimejitolea mimi mwenyewe, npolepole nasonga mbele nifke kwako.
Ninakukabidhi nilichonacho,nhiki kidogo Baba pokea
Mapato yangu ni duni sana we wanijua;nsina kitu kizuri cha kuletea wewe.
Ninakukabidhi maisha yangunuzima wangu Baba pokea
Mungu wangu ninakuja kwako nikushukuru,numenilinda siku zote asante sana.
Mavuno yangu nakupa wewenna fedha zangu Baba pokea
Wiki nzima umenijalia uhai bure,
Umenikinga na matatizo unanipenda,
Mkate huu nakutolea,
Divai hii Baba pokea.
Baraka zako ninazipokea siku kwa siku
Mungu Baba nionyeshe Mbingu nifanye kazi,
Mifugo yangu nakuletea
Furaha yangu Baba pokea
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.