SectionsExitIkiwa Twaaamini

Ikiwa Twaaamini

LentExit
Chorus

{ Ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa na kufufuka

Vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu

Mungu atawaleta pamoja naye } *2

Verse 2

Ndugu hatutaki mzijue habari zao waliolala mauti

Msije mkahuzunika kama wengine wasio na matumaini

Verse 3

Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana

Kwamba sisi tulio hai tutakaosalia

Hata wakati wa kuja kwake Bwana

Hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti

Verse 4

Kwa sababu Bwana Mwenyezi atashusha kutoka mbinguni

Pamoja na mwaliko na sauti ya malaika mkuu

Na parapanda ya Mungu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.