Chorus
{ Ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa na kufufuka
Vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu
Mungu atawaleta pamoja naye } *2
Verse 2
Ndugu hatutaki mzijue habari zao waliolala mauti
Msije mkahuzunika kama wengine wasio na matumaini
Verse 3
Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana
Kwamba sisi tulio hai tutakaosalia
Hata wakati wa kuja kwake Bwana
Hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti
Verse 4
Kwa sababu Bwana Mwenyezi atashusha kutoka mbinguni
Pamoja na mwaliko na sauti ya malaika mkuu
Na parapanda ya Mungu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.