SectionsThanksgivingIkulu Ya Mbinguni

Ikulu Ya Mbinguni

Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Resurrection,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{ Ukimcha Bwana Mungu (katika) maisha yako yote

Hakika utakaribishwa (kwenye) ikulu ya Mbinguni } *2

Verse 2

Tazama Mungu ni hodari (sana) wala hamdharau mtu yeyote

Naye ana uwezo (mwingi) katika kufunza ufahamu mwingi

Verse 3

Hufungua masikio (yako) yasikie maonyo yake mwenyezi

Na kukuagiza (urudi) kwake na kuuacha uovu wako wote

Verse 4

Kama wewe ukisikia (wewe) na kumtumikia atapitisha siku zako

Na mafanikio (mengi) na miaka yenu katika furaha

Verse 5

Na ukithamini zaidi (mali) kuliko roho yako utaangamia

Na kufaa pasipo (maarifa) hautauona uso wa Mungu

Verse 6

Basi jitunze isije (hasira) ikakuvuta ama ukafanya mzaha

Wala usikubali (kamwe) ukuu wa ukombozi ukutawale

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.