Chorus
Inakuwaje tunasikia maneno, wanayosema,nkwa lugha yetu wenyewe
Tunasikia mambo hayo ya Mungu, wanayosema,nkwa lugha yetu wenyewenn{ Wao ni wa Galilaya, na si ni wa makabila,
Ya kutoka nchi mbalimbali (duniani)
Ina maana gani, linashangaza jambo hilo } *2
Verse 2
Siku ile ya Pentekoste ilipofika,nmitume nao waamini
Walikusanyika pamoja katika nyumba,nwalimokuwa wamekaa
Verse 3
Mara uvumi wa upepo ukasikika,nndimi za moto zikawashukia,
Wakawa wamejazwa na Roho Mtakatifu,nwakisema lugha nyingi
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.