SectionsExitJahazi Jahazi

Jahazi Jahazi

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Bwana jahazi letu, kweli laangamian{Mawimbi yametuzidia jahazi ladidimia} *2

Wale papa na nyangumi wataka watumeze sisi

Verse 2

Jahazi, jahazi we!

Jahazi limejaa mizigo ya dhambi na chuki

Ewe Bwana tuondolee jahazini kwa kweli

Verse 3

Jahazi, jahazi we!

Jahazi lina masengenyano fitina inapatikana we!

Tuondolee jahazini kwa kweli

Verse 4

Jahazi, jahazi we!

Jahazi lako Bwana nataka lenye uzima wa milele

Ni jahazi la neema kwa kweliJA

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.