SectionsExitJina La Yesu Lafanya Mambo

Jina La Yesu Lafanya Mambo

Ordinary Time,Lent,Ordinary TimeExit
Chorus

Aeeh! Njooni muone - muone

Njooni muone - muone

Njooni muone Jina la Yesu - aeh!n{Linafanya mambo - aa aah!

Linafanya mambo - Jina la Yesu

Lafanya mambo makuu sana} *2

Verse 2

Kwa jina la Yesu pepo wanakimbia

Kwa jina la Yesu wagonjwa wanapona

Kwa jina la Yesu viwete wanatembea

Kwa jina la Yesu vipofu wanaona

Verse 3

Kwa jina la Yesu mabubu wanaongea

Nao viziwi wana wanakusikia

Kwa jina la Yesu waganga wanaokoka

Kwa jina la Yesu dhambi wanazitubu

Verse 4

Kwa jina la Yesu waongo wanaokoka

Kwa jina la Yesu na wezi wanatubu

Kwa jina la Yesu wazinzi wanaokoka

Kwa jina la Yesu Mbinguni wataenda

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.