Chorus
Aeeh! Njooni muone - muone
Njooni muone - muone
Njooni muone Jina la Yesu - aeh!n{Linafanya mambo - aa aah!
Linafanya mambo - Jina la Yesu
Lafanya mambo makuu sana} *2
Verse 2
Kwa jina la Yesu pepo wanakimbia
Kwa jina la Yesu wagonjwa wanapona
Kwa jina la Yesu viwete wanatembea
Kwa jina la Yesu vipofu wanaona
Verse 3
Kwa jina la Yesu mabubu wanaongea
Nao viziwi wana wanakusikia
Kwa jina la Yesu waganga wanaokoka
Kwa jina la Yesu dhambi wanazitubu
Verse 4
Kwa jina la Yesu waongo wanaokoka
Kwa jina la Yesu na wezi wanatubu
Kwa jina la Yesu wazinzi wanaokoka
Kwa jina la Yesu Mbinguni wataenda
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.