Chorus
{ Jongeeni tuingie nyumbani mwa Baba *2
Twende twende twendeni, nyumbani kwa Baba } *2
Verse 2
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba
Twende kwa furaha, nyumbani mwa Baba
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba
Twende kwa heshima nyumbani mwa Baba
Verse 3
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba
Twende kwa furaha, nyumbani mwa Baba
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba
Twende kwa heshima nyumbani mwa Baba
Verse 4
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba,
Twende kumshukuru nyumbani mwa Baba
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba,
Twende kumsujudu nyumbani mwa Baba
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.