SectionsExitKanisa La Kitume

Kanisa La Kitume

Ordinary TimeExit
Chorus

Kanisa la kitume (kanisa la kitume)

Kwa sababu Roho Mtakatifu aliwashukian{ Wale wote waliokuwapo , wale wote waliokuweponwakati wa pentekoste wakati wa pentekoste } *2

Verse 2

Asili ya kanisa letu limetoka kwa mitume

Na limeendelea kukua tangu wakati huo

Verse 3

Huu muungano na mitume unadokeza kwa kanisa

Kuwa mwaminifu kwa mafundisho

Yaliyofunuliwa na Yesu na mitume kwetu sisi

Verse 4

Roho Mtakatifu ni mjumbe wa mitume na kanisa

Atakuwa kati yao kila wakati

Ni mwalimu wa habari njema aliyoihubiri Yesu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.