Chorus
Kanisa la kitume (kanisa la kitume)
Kwa sababu Roho Mtakatifu aliwashukian{ Wale wote waliokuwapo , wale wote waliokuweponwakati wa pentekoste wakati wa pentekoste } *2
Verse 2
Asili ya kanisa letu limetoka kwa mitume
Na limeendelea kukua tangu wakati huo
Verse 3
Huu muungano na mitume unadokeza kwa kanisa
Kuwa mwaminifu kwa mafundisho
Yaliyofunuliwa na Yesu na mitume kwetu sisi
Verse 4
Roho Mtakatifu ni mjumbe wa mitume na kanisa
Atakuwa kati yao kila wakati
Ni mwalimu wa habari njema aliyoihubiri Yesu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.