Verse 1
[ t ] Kiapo cha uba-tizo wangu,nkutoa si mimi ni wao
Ni mzima nayo akili yangu,nninaapa mwenyewe leo
Chorus
{ Ninaapa, ninaapa,nninaapa mwenyewe leo,
Ninaapa mwenyewe leo } *2
Verse 3
Naapa Yesu ndiye Mwokozi,nsadaka mlipa le-tu deni
Mwenyewe Mwana wa Mwenye-zi,nnaapa ni yangu imani
Verse 4
Naapa kwa Mungu na kanisa,nni mtoto tangu ubatizo
Ya jana nayatubu makosa,nnaapa ni mtu mpya si mchezo
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.