SectionsEntranceKiapo Cha Ubatizo

Kiapo Cha Ubatizo

Baptism,BaptismEntrance
Verse 1

[ t ] Kiapo cha uba-tizo wangu,nkutoa si mimi ni wao

Ni mzima nayo akili yangu,nninaapa mwenyewe leo

Chorus

{ Ninaapa, ninaapa,nninaapa mwenyewe leo,

Ninaapa mwenyewe leo } *2

Verse 3

Naapa Yesu ndiye Mwokozi,nsadaka mlipa le-tu deni

Mwenyewe Mwana wa Mwenye-zi,nnaapa ni yangu imani

Verse 4

Naapa kwa Mungu na kanisa,nni mtoto tangu ubatizo

Ya jana nayatubu makosa,nnaapa ni mtu mpya si mchezo

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.