SectionsEntranceKila Penye Ngoma

Kila Penye Ngoma

Wedding,WeddingEntrance
Chorus

{ Kila penye ngoma, hapakosi chereko (chereko)

Na kila penye chereko chereko

Zawadi zawadi hazikosi } *2

Chorus

{ Twendeni sasa kwa Bwana mfufuka

Aliyeyashinda mauti mzima kweli

Zawadi zawadi tukatoe } *2n{ Haya twende twende twende

Zawadi tumwage tumwage

Kwa Bwana aliyefufuka, fufu-ka } *2

Verse 3

Watu hutoa zawadi nzuri tena za kutamanisha

Siku siku ya harusi, siku ya ngoma

Je mimi nitatoa nini hata kikupendeze

Siku siku ya kufuka, siku ya leo

Verse 4

Bwana simama kwa chereko, nyimbo ngoma na vigelegele

Siku siku ya kufuka, siku ya leo

Nawe jirani twende tukatoe hata kidogo usisite

Siku siku ya kufuka, siku ya leo

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.