Chorus
{ Kila penye ngoma, hapakosi chereko (chereko)
Na kila penye chereko chereko
Zawadi zawadi hazikosi } *2
Chorus
{ Twendeni sasa kwa Bwana mfufuka
Aliyeyashinda mauti mzima kweli
Zawadi zawadi tukatoe } *2n{ Haya twende twende twende
Zawadi tumwage tumwage
Kwa Bwana aliyefufuka, fufu-ka } *2
Verse 3
Watu hutoa zawadi nzuri tena za kutamanisha
Siku siku ya harusi, siku ya ngoma
Je mimi nitatoa nini hata kikupendeze
Siku siku ya kufuka, siku ya leo
Verse 4
Bwana simama kwa chereko, nyimbo ngoma na vigelegele
Siku siku ya kufuka, siku ya leo
Nawe jirani twende tukatoe hata kidogo usisite
Siku siku ya kufuka, siku ya leo
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.