SectionsEntranceKunapendeza

Kunapendeza

Entrance
Verse 1

(Kunapendeza kutazama kwake Bwana, nnyumba yake Bwana inapendeza) *2.

Inapendeza (kweli) inapendeza (sana),ninapendeza inafurahisha moyo.

Nyumba ya Bwana inapendeza.

Verse 2

(Kuna furaha kuingia kwake Bwana, nnyumba yake Bwana ina furaha) *2

Ina furaha (kweli), ina furaha (kubwa),nina furaha ni furaha ya mbinguni.

Nyumba ya Bwana ina furaha

Verse 3

(Kuna Baraka kuabudu kwake Bwana,nnyumba yake Bwana ina Baraka) *2

Ina Baraka (kweli) ina Baraka (nyingi),nina Baraka inayo baraka tele.

Nyumba ya Bwana ina Baraka

Verse 4

(Kuna chakula kutulia kwake Bwana,nnyumba yake Bwana ina chakula) *2

Ina chakula (kweli), ina chakula (kingi),nina chakula ni chakula cha roho zetu.

Nyumba ya Bwana ina chakula

Verse 5

(Kuna uzima kusujudu kwake Bwana,nnyumba yake Bwana ina uzima) *2

Ina uzima (kweli) ina uzima (tele), inanuzima ni uzima wa milele.

Nyumba ya Bwana ina uzima

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.