Chorus
Kusanyikeni kusanyikeni viumbe wake Bwana
Tumsifuni Mungu wetu mwema aliyeumba vyote *2
Amsheni vinanda leteni na zeze na nyimbo nzuri
Zenye kupendeza msifuni Mungu*2
Verse 2
Kaumba nchi, kaumba wanyama,
Binadamu na fikira zake
Lipi lisilomtegemea yeye iwe mvua ama ni jua
Verse 3
Kawapa wengine mali nyingi sana,
Wengine ni dhiki tupu
Ili wote wategemeane kwa kile alichowajalia
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.