SectionsExitKwa Nini Wasimama Mbali

Kwa Nini Wasimama Mbali

LentExit
Chorus

Bwana ee Bwana, kwa nini wasimama mbali

Ee Bwana ee Bwana, kwa nini wasimama mbalin{ Kwa nini kujificha na kujificha nyakati za shida

Kwa nini kujificha Bwana nyakati za shida } *2

Verse 2

Kwa kiburi chake mtu asiye haki

Mnyonge anafuatiwa anafuatiwa kwa ukali

Na wanaswe kwa hila hizo hizo walizoziwaza

Verse 3

Maana mdhalimu, mdhalimu hujisifia

Hujisifia sifia tamaa ya nafsi yake

Na mwenye uchoyo humkataa Bwana na kumdharau

Verse 4

Asema moyoni mwake, asema sitaondoshwa

Kizazi hata kizazi, sitakuwamo taabuni

Kinywa chake kimejaa laana na hila na dhuluma

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.