SectionsThanksgivingLitukuzeni Jina

Litukuzeni Jina

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Litukuzeni Jina la Mungu daima milele

Enyi mataifa, mshangilieni Mungu wetu

Kwa kuwa Bwana ni Mtukufu wa kutisha

Yeye ni mfalme mkuu wa dunia yote

Sifuni Bwana kwa shangwe

Chorus

{Jina la Mungu lihimidiwe daima milelen( litukuzwe litukuzwe litukuzwe litukuzwe litukuzwe litukuzwe)

Enyi mataifa mhimidini

Kwa kuwa fadhili zake (kwetu sisi) zadumu daima milele } *2

Verse 3

Jina lake Bwana litukuzwe sasa hata milele

Viumbe vya Bwana Sifuni Bwana Mungu wetu

Toka mawio hata machweo ya jua

Sifuni jina lake Bwana Mungu wetu

Sifuni Bwana Mwenyezi

Verse 4

Enyi watumishi sifuni Bwana kutoka Mbinguni

Mbingu nanyi maji, lisifuni jina la Bwana

Wafalme wa dunia nanyi watu wote

Wakuu nanyi wakaazi wote wa dunia

Sifuni Bwana Mwenyezi

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.