Mali Yako
Mali yako Mali Yako, Mali yako,nna vinatoka kwako vyote mali yako na vinatoka kwako
Mkate wetu nayo divai yetu Dhabihu zetunnayo divai yetu mali yako mali yako mali yako
Mali yako nguvu zangu na uhai wangunfamilia na jamii yangu Fedha nilizonazonni zako mazao nivunayo ni yako
Milele! Mi- Mi- Milele (Utukuzwe utukuzwe Bwana Mungu milele) x 2
Maana kwa wema wako tumepokea huu mkate na kutoka kwako tumepokea hii divai.
Mali yako:Umri wangu na ujana wangu
Shida zangu furaha zangu
Na vipaji vyangu vyote x2
Mali yako:Ndoa yangu na uchumba wangu
Utume ukasisi na utawa wangu
Mwili na roho yangu ni vyako x2
Mali yako:Utajiri na elimu yangu
Umaarufu wangu mkubwa
Hadhi niliyo nayo ni yako,
Unyonge wangu pia ni wako
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.