Mali Yako

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Christmas,Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1

Mali yako Mali Yako, Mali yako,nna vinatoka kwako vyote mali yako na vinatoka kwako

Mkate wetu nayo divai yetu Dhabihu zetunnayo divai yetu mali yako mali yako mali yako

Verse 2

Mali yako nguvu zangu na uhai wangunfamilia na jamii yangu Fedha nilizonazonni zako mazao nivunayo ni yako

Chorus

Milele! Mi- Mi- Milele (Utukuzwe utukuzwe Bwana Mungu milele) x 2

Maana kwa wema wako tumepokea huu mkate na kutoka kwako tumepokea hii divai.

Verse 4

Mali yako:Umri wangu na ujana wangu

Shida zangu furaha zangu

Na vipaji vyangu vyote x2

Verse 5

Mali yako:Ndoa yangu na uchumba wangu

Utume ukasisi na utawa wangu

Mwili na roho yangu ni vyako x2

Verse 6

Mali yako:Utajiri na elimu yangu

Umaarufu wangu mkubwa

Hadhi niliyo nayo ni yako,

Unyonge wangu pia ni wako

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.