Mambo Ya Yesu

Ordinary TimeBible Procession
Chorus

{ Hatutaacha kuyanena mambo ya Yesu

Hatutaacha kuyasimulia matendo yake Kristu } *2n(Sisi) uliyoyaona na kuyasikia wenyewe (Yesu)

Akimwaga damu yake msalabani tukombolewe

Tuliyoyaona na kuyasikia wenyewe (hivyo)

Maisha yangu na uhai wangu mimi namkabidhi Yesu

Verse 2

Amewaponya wenye magonjwa wakawa huru

Akawafufua wafu nao wakawa hai

Ni nani kama Yesu na hakuna aliye kama Yesu

Verse 3

Alitoa uhai wake kwa ajili yetu

Akafa kifo cha aibu pale msalabani

Ni nani kama Yesu na hakuna aliye kama Yesu

Verse 4

Ametuachia karamu iliyo kuu,

Karamu ya upatanisho nay a upendo

Ni nani kama Yesu na hakuna aliye kama Yesu

Verse 5

Alibadilisha maji yakawa divai

Na wenye harusi wakanywa wakafurahi

Ni nani kama Yesu na hakuna aliye kama Yesu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.