Chorus
{ Mbona nahangaika, mkiwa mimi,
Sina hata wa kunifuta machozi } *2
Ni aibu gani iliyonitanda,
Najuta hata siku ya kuzaliwa kwangun{ Maskini mimi, nitakuwa mgeni wa nani,
Nakulilia e Mungu uniokoe } *2
Verse 2
Taabu na matatizo yanisonga mimi
Shida nazo karaha zanisumbua mimi,
Mungu ufanye hima uniokoe.
Verse 3
Nimeugua nikilalama, mnyonge mimi,
Sina rafiki wala mtetezi, mkiwa mimi
Wote wamenigeuka kuniwinda,
Verse 4
Kila waliwazalo juu yangu ni baya,
Kuugua kwangu kumbe ni furaha kwao
Walitaka nife nisahaulike.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.