SectionsEntranceMfalme Mtukufu

Mfalme Mtukufu

EasterEntrance
Verse 1

Mfalme mtukufu mpeni heshima

Fungueni lango ataingia

Mfalme gani huyu mwenye heshima

Ndiye mwenye nguvu ya kutawala

Verse 2

Lango la milele wazi funguka

Kwani mfalme wetu anaingia

Mfalme gani huyu mwenye heshima

Bwana wa malaika mwenye Imara

Verse 3

Enyi binadamu wenye ibada

Na majeshi yote ya malaika

Tumwabudu Bwana tukamsifie

Tukamtukuze neno, tukamnyenyekee

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.