Verse 1
Mfalme mtukufu mpeni heshima
Fungueni lango ataingia
Mfalme gani huyu mwenye heshima
Ndiye mwenye nguvu ya kutawala
Verse 2
Lango la milele wazi funguka
Kwani mfalme wetu anaingia
Mfalme gani huyu mwenye heshima
Bwana wa malaika mwenye Imara
Verse 3
Enyi binadamu wenye ibada
Na majeshi yote ya malaika
Tumwabudu Bwana tukamsifie
Tukamtukuze neno, tukamnyenyekee
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.